rushwa wizara ya ardhi.

rushwa wizara ya ardhi..

Posted in politics/siasa | Tagged , , | Leave a comment

Kwa kusema ukweli serekali ina nia nzuri kuwasaidia wananchi kurasimisha mali zao kama nyumba, viwanya na mashamba. Lakini kuna kitu wamachemsha kweli kuto angalia junsi hi kazi itatekelezeka vipi kiutendaji. Mipango mingi ya serekali ni mizuri kenye mafiles lakini ikija kwenye utekelezaji ni shida tupu kutokana na uelewa mdogo wa watendaji na kubwa ni rushwa.

Kupata hati miliki ni kazi kubwa sana hata ile ya kimila ni shuguli na process yote imetawaliwa na rushwa. Bila kutoa rushwa file lako litapigwa danadana mwezi baada ya mwezi mpaka miaka inaweza kupita, Wakati process kwa ufanisi wake ni ya weeks au months tops kama wananyo fanya kenya.

Hati ni kitu  muhimu kama kila mtu ananyo tambua na pili ingeepunguza sana migogoro ya ardhi ambyo imeshamili tanzania nzima.

Kwa mfano hai: Kuna hati mimi personally naifatilia wizara ya ardhi. Malipo of course ya hati unalipia sehemu husika, but baada ya hapo ndio upotevu wa muda na rushwa inaanza. maelezo ya documents zipi ziwe submitted saa nyingine yako wrong. Unaweza kuwa na power of attorney ukaambiwa hiyo inatosheleza, later on unaambiwa mbona haujaisajili wakati haukupewa hizo intructions before. Okey power of attorney imesajiliwa then another instrustion you need an affidavit?. Hapo weeks zimekata lingali ungeambiwa kwamba yote kwa wakati mmoja yangefanyika at a go na kwa week moja tu.

wakati huo huo mtu ambaye anashugulikia file lako lazima umpe kitu kidogo lasinyo kazia haiendi. Mafile mengi mku? kazi nyingi?. Mara nasubiri deed plan(ramani ya kiwanya), Ukienda kwa mchoraji kazi nyingi mku njo next week sasa utafanyaje? unachukua namba yake na kuwasiliana nae ili afanye kazi faster mekundu lazima. Haya mambo sawa kidogo sasa kwa mchapisha hati nae kitu kidogo la sinyo anasema anachapisha hati za karibu za mikoa yote subura ya miezi ni muhimu.

Bado kwa kamishina na kwa msajili sijui itakuwaje sijafika hiyo stage yet.

Kwa hali halisi mtoa rushwa na mpokeaji wote ni wavunja sheria, lakini kama wizara ingekuwa makini ingefanya jitiada ya kustreamline processes za hati miliki na kuwezesha wafanyakazi wake kufanya kazi kwa ufanisi zaidi. Hati ni kitu muhimu sana katika maisha ya sasa na haipaswi kuwa na ukiritimba wa hali hi. Hati inaweza kurevolutinize nchi kwa watu kupata access na finance, kuwa sure na umiliki wao wa mali zao na mengineo mengi. its high time the whole process to be overhauled stop wasting our time life its to short.

Posted on by nipashe | Leave a comment

katika maneno ambayo emetokea kutokuyapenda sana ni CHANGAMOTO. kila kukicha ni changamoto Changamoto tu, mara secta hi inachangamoto, hapa changamoto pale changamoto juzi,jana changamoto, leo changamoto kesho changamoto. lini changamotoz zitaisha. Kama kunamtu anaitwa changamoto basi nathani angejinyonga kwa sababu kila kitu ni yeye tu.

Changamoto jamani aziishi?. Au ni kukwepa uwajibikaji au kutekeleza majukumu yenu. Kama ni hinyo basi acheni kazi muwape nafasi watu wengine kuliko kusingizia changamoto tu. step down people if u cant do u r job propely.

Posted on by nipashe | Leave a comment

raisi ni dhaifu

“udhaifu wa raisi” ni tofauti na kusema “Raisi ni dhaifu”. kwa wale wanaojua kiswahili fasaha watanisaidia kwa hili. Labda nibadilishe maneno kidogo ili tuelewane kidogo; “ujinga wa raisi” si sawa na kusema “raisi ni mjinga”. Mimi niko na ndugu Mnyika kwa kusema raisi ni dhaifu na ni kweli ni dhaifu.

Raisi dhaifu ni ambaye ajui kama kwenye baraza lake la mawaziri kuna uozo mpaka bunge llimwambie so. Baada ya kuambiwa anasita sita kuchukua hatua mpaka dakika za mwisho. dhaifu=weak(in politics) means: 1-not having much political strength, governing power, or authority. 2-not strong; liable to yield, break, or collapse under pressure or strain. Fragile.

Tupo kwenye democrasia ambayo inatupa uhuru wa kusungumza na kusema jambo lolote as long as we dont hurt ony1. Ndugu Mnyika yuko sahihi kumwita raisi ni dhaifu lakini kwa kujua sheria za bunge zitambana makusudi akasema UDHAIFU WA RAISI. Kwani anazo haki za kuzungumza kwa uhuru na katiba inampa uhuru huo. Kwa sheria za bunge hakuvunja sheria yoyote kwa sababu hakumwita raisi dhaifu ila alisema udhaifu wa raisi ambanyo ni vitu viwili tofauti kabisa. Angesema raisi ni dhaifu angekuwa amevunja sheria  kwa mtazamo wangu na kustaili kutolewa nje ya bunge.

Speaker, naibu speaker na wasaidizi wao wote waendeshao bunge wawe makini na kutenda haki kwa wabunge wote ccm na wapinzani. WATANZANIA tunawaangalia na historia pia inawatazama kwa jicho kali sana. Hata kwenye vitabu vitakatifu inasemwa utakuja kuhukumiwa kwa mazuri au mabaya unayotenda now. Na hukumu yetu haiko mbali sana kama ya kwenye vitabu vitakatifu ila ni 2015. Ni Karibu sana

Bunge letu limechukua kwa karibu sana mfumo wa bunge la uengereza. Mnamo mwaka 1997 tony blair wakati ni mku wa kambi ya upinzani alimwita waziri mku wa wakati huo john mojor dhaifu(weak, weak, weak). Speaker hakuzui na kumtaka mr blair kuondoa kauli hiyo. Uchaguzi uliofatia mr mojor alishidwa na mr blair alichaguliwa kuwa waziri mku wa uengereza. Huu ni mfano mzuri wa siasa iliyo komaa na fundisho kwa speaker Anna makinda, siri-kali ya ccm, wabunge wote na wanasiasa kwamba mwishoni ni wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho.

Posted in politics/siasa | Tagged , , , , , | Leave a comment

budget

wakati bunge linaendelea kijadili budget inaelekea wabunge wa ccm wamepitwa na wakati na kushidwa kutetea na kuelezea kwanini budget ni nzuri kwa watanzania. wabunge wapinzani kwa upande wao wemeonyesha muelekeo nzuri wa kuhoji budget kwa hoja nzito na za maana. another silly season, business as usual, copy and paste budget nothing new, budget isiyo tekelezeka..etc.

Haya ni maneno makari  na kwa siri-kali makini inabidi iyachukue na kuyatafakari kwa makini. itakuwa hatari kwa siri-kari ya ccm kupuza kilio cha watanzania kupitia wabunge wao wapinzani na kujidai business as usual.  maisha ya watanzania ni magumu; maji tabu, umeme unakatika katika kama disco lights, hospitali hoi, wanafunzi wanafail, hatuna ndege za uhakika, raili ya kati hoi, tazara tunawaita wachina tena kutusave, barabara mbovu na mengine mengi nitachukua siku nzima na ukurasa hu wote kuorothesha yote.

kuna vizuri pia lakini vibovu vimezidi sana vinanifanya hata machache mazuri kutoyashabikia.

Kupanga ni kuchagua. Mimi binafsi nilihamasika nilipokuwa namsikiliza raisi akizindua mpaango wa kabambe wa maendeleo wa miaka 5. Kupanga sio kutekeleza. Mpango huu ndio uliopaswa kuanza kutekelezwa rasmi budget hii kwa kutenga 35% ya mapato ya ndani kutekeleza mpango huu. Kupanga+Kutekeleza=Results(maendeleo). Kwa mwanzo hu mpango wa miaka 5 siri-kali haiko serious na sio kitu kigeni. mipango mingi mizuri emeishia kwenye mafile tu. nothing new….

Sitaki kuichambua budget yote hapa lakini natoa mfano huu kumake my point clear. Tanzania sisi matajiri sana lakini kwa mwelekeo huu ndio maana tupo maskini sana. Tuna mali nyingi sana lakini kwa umaskini wa mawazo ya watawala wetu ndio tupo hapa miaka 50 ya uhuru. Tunaitaji mapinduzi ya akiri, kijamii na utawala mzima ili tuvune matunda ambayo mwenyezi mungu ametubarikia nayo madini, maziwa, mt kilimanjaro, bahari, mbuga za wanyama, ardhi nzuri na mengineyo. Other wise tuendelee na hii silly seasson

Posted in politics/siasa | Tagged , , , , | Leave a comment

Hello world!

Welcome to WordPress.com! This is your very first post. Click the Edit link to modify or delete it, or start a new post. If you like, use this post to tell readers why you started this blog and what you plan to do with it.

Happy blogging!

Posted in Uncategorized | 1 Comment